Friday, February 24, 2012

New BONGO rnb kiler

Mzik wa bongo fleva umekua ukipga ha2a day afta day na hii ni kutokana na faida wanaozpata wsanii wanaohucka na music industry,lakin hapa namzungumzia msanii mchanga kwny hii game ya rnb kw hapa +255 ambaye anaenda kw jna la Rehan Ibrahim,mwanafunz toka chuo cha CBE na jna la kazin ni Lonka,nilianza muzic 2002 nikiwa standrd 5 na kuingia studio rasm kurekod ilikuwa 2006 nkiwa form 3,mimi km Lonka napend muzic rnb style pia muzic wowote weny radha,natarajia kuwa artist wa kmataifa,alieleza kijana Lonka na pia hakufcha kuwa wasanii anaowazmia hapa bongo na walimfanya kutamana sana music ni Prof jay,Sir nautre,Nuruhel na Fid q,aliongeza kw kusema'',nje ya bongo namkubali Craid david na J holyday pia hiphop ni Common na Jay z,ngoma yangu ya kwanz inaitwa ''raha'' na ya pili ndo hii ''we ni wangu'',natarajia kufanya video ya ngoma mpya nlio mshrikisha mabeste chini ya studio za sei records,nje ya muzic napend kucheza baskettball pia road trip na kuchek movie's,kwa sasa nko chuo c.b.e na muda mwng na2mia kwa muzic,kusoma,na ku enjoy na marafki,nawashaur artist wenzangu 2we na ushirikiano na umoja ni nguvu.Hivyo ndvyo alvyomaliza kijana Lonka so ni zamu ye2 watanzania kuusapot mzik wa bongo il uweze kufka mbal levo za kimataifa


No comments:

Post a Comment