Sunday, August 21, 2011

De upcoming supa star in moderln

Abdalah Suleiman wel known by de a.k.a mr dalaz ni 1 kat ya wa2 walio na iman ya kuja kuwa bonge la supa star frm here here +255 maaruf km bongo land,ameshawai kushirik 1 ya mashndano makubwa ya u mr in hiz de future wrk plac DSJcollege(skul f jonalizm) na kuibuka mshind no 1 ata hvyo mr dala'z pia amekuwa baloz wa swahil fashion hapo dsj katka masuala ya kuimiza fashion vyuon na mashulen ,ze dude talk 2 swaggzkitaa na aka2dondoshe haya ''mi naiman kuwa naweza coz napenda so ctakata tamaa ad pale ntakapoona tz inajifunia na mwakilish wa fashion km mm'',malengo ya mr dala'z ni kuona watanzania 2kimuamin na kum2ma aka2wakilishe ktk mashndano ya kidunia na kurud na taj,woow dats nyc 2hear,al de best brodaa