Thursday, October 6, 2011

Hustlin za Darasa zatnga ad Bongo muv

Yule mchiz wa ''ckat tamaa'' song alyomshirikisha mzee wa my no 1 fun Ben pol,mchiz toka pand za kiwalan known by de stag nam Darasa amesema kwa sasa anajiandaa na maandaliz ya kutengeza na kuachia muv itakayo base kutokana na track yake hiyo ya ''ckat tamaa''.''Nmeamua kuandaa muv ambayo itaendana na maisha ya maraia kibao pamoja na harakat zangu mwenyewe nilizopitia''alisema darasa,pia muv itahusisha wasanii wa bongo muv industry kama vile Rihama,mwanadada Diva na wengne wengi wengi toka hood,pia aliongeza kw kusema ''mazingira husika na maeneo ambayo muv itashutiwa ni hood yake ya kiwalani na sehem nyningine za Dar cty na main character ni yeye mwenyewe Darasa''.
Kwa sasa Darasa anabang na track yake hiyo ya ''ckat tamaa''amabyo ameshaiachia vdeo pia
Pcha:Darasa katka poz akiwa pamoja na tshet zake za mtoto wa kln(kiwalan)
Dats wat we say Harakat za mtu mweus,al da best an big up brodaa

No comments:

Post a Comment