Monday, October 3, 2011

Gza ad kuwa mwanga mpya wa artst hapa bongo land na East Afrca kw ujumla


Gud Music Family toka A cty,Joh makin,Bonta,Nik II,G gwala gwala(nako) an Lord eyez wameamua kuanzisha music company il kukuza music na kusapot +255 music an al over afrka masharik,mkal wa kiujamaa song an vdeo inayopata air tym ya kutosha Nik II as Weus chairman albonga na SWAGGZKITAA na kusema ''2meamua kuanzisha Weus Company na kw sasa hipo katka harakat za mwsho kutambulika kiserikal.Aidha chairman huyo wa Weus aliendelea kutililika kw kusema lengo ni kufanya wasanii waliopo chin yake na chin km underground kufanikiwa kimuzik na kchapaa il kutoka droo na lyf la dunia
So u wasanii na ma underground mpango mzima ndo huu sasa na info kuhusu Weus Company itakapoachiwa rasm bas bla utata SWAGGZKITAA itakujuza
All de best weus,nyeus ngumuuuuuuuu
(Picha hapo juu;kutoka kushoto ni Joh makin,Nik II,G nako an Lord eyez az WEUS on de staaaege)

No comments:

Post a Comment